MBUNGE MAGUNGUSI ATETA JAMBO NA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA


Mbunge wa Malinyi, Mhe.Antipas Mgungusi, akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo Aprili 15,2024 asubuhi Bungeni, akiteta juu ya hali ya Jimbo la Malinyi katika Miundombinu iliyoharibika kutokana na Athari za Mvua kubwa na Mto Furuwa.

 

Post a Comment

0 Comments

CHATANDA:RAIS DK. SAMIA AMEIMARISHA SEKTA YA MADINI