MKURUGENZI e-GA AKABIDHIWA CHETI CHA UDHAMINI


 Unguja, Zanzibar 

RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi cheti cha shukran ya udhamini Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao ( e-GA) Bw. Ricco Boma, kwenye Mkutano Mkuu wa 7 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika (SABA). 

Mkutano huo unafanyika kwa siku tatu kuanzia Oktoba 10 hadi 12 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kisiwani Unguja ambapo e-GA ni miongoni mwa wadhamini wa mkutano huo.

Post a Comment

0 Comments

 MAGARI 25 YA TUME YA MADINI YAMEZINDULIWA,YATASAMBAZWA KWENYE OFISI ZA MAAFISA MADINI