CHATANDA ACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 2.66 KUFANIKISHA UNUNUZI WA GARI KANISA KUU LA KKKT JIMBO LA SONGEA

Songea, Ruvuma

MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mary Pius Chatanda ameongoza harambee ya ununuzi wa gari kwa ajili ya usafiri wa Mchungaji Julia Philemoni katika Kanisa Kuu la Jimbo la KKKT Songea. 

Harambe hiyo imefanyika Disemba 22,2024  Songea, Ruvuma ambapo Mwenyekiti huyo amechangia  zaidi vya ya Shilingi Milioni 2.6

#uwtimara

#Jeshiladktsamiadktmwinyi

#Kaziiendelee

#Ushindinilazima

#Miaka63YaUhuru






Post a Comment

0 Comments

WAUGUZI, WAKUNGA ENDELENI KUBEBA DHAMANA KAMA SERIKALI ILIVYOWEKEZA