Mbunge wa Mahonda ajitosa fomu ya Naibu Spika


 Mbunge wa Mahonda Zanzibar Abdullah Ally  Mwinyi

Na Asha Mwakyonde, Dodoma

MBUNGE wa Mahonda Zanzibar Abdullah  Ally Mwinyi leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya  kupatiwa  nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Chama Cha Mapindizi (CCM),white House.

Akizungumza jijini Dodoma leo  Febuari 5, mwaka huu katika Makao makuu  ya chama hicho amesema anauzoefu wa miaka 10 bungeni.

"Nina furaha ya kuchukua fomu ya kukuomba ridhaa ya kuteuliwa na chama changu nafasi ya Uspika,amesema mbunge huyo.

Amesema kuwa alishawahiwa kuwa mbunge wa Afrika  Mashariki na kwamba tofauti ya Bunge hilo na la Tanzania ni lugha tu lile linatunia kiingereza na hilo la Tanzania linatumia lugha ya Kiswahili.

Post a Comment

0 Comments

TAARIFA ZA WASTAAFU NHIF KUHAKIKIWA MAHALI WALIPO