MARIAM DITOPILE ATOA MKONO WA PASAKA


 MBUNGE Viti Maalum Mkoa Wa Dodoma (CCM) Mariam Ditopile Ametoa Mkono wa Pasaka Kwa Watoto Wanaolelewa Katika Kituo Cha Chelishi Miuji Dodoma akiongea baada ya kutoa mkono huu Mbunge Mariam amesema kwa kujibu wa imani yake inamuelekeza wakati wa Skuku wale wanaojiweza wanatakiwa kwenda kusherehekea na wale wasijiweza kwa kuwapatia mavazi na chakula.




Post a Comment

0 Comments

SERIKALI YAKUTANA NA WADAU KUJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA MASLAHI YA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA