WAZIRI WA ZIMBABWE MHE. CHADZAMIRA AVUTIWA NA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU


Na Mwandishi wetu 

WAZIRI wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Mikoa na Ugatuzi kutoka nchini Zimbawe, Mheshimiwa Ezra Chadzamira ametembelea banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizochini yake na kueleza kuwa Tanzania na Zimbabwe zitaendelea kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo na uvuvi. 

Ametembelea banda hilo tarehe 06 Julai, 2024 wakati wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea katika Uwanja wa Sabasaba jijini Dar es salaam. 

Maonesho hayo yamebebwa na kaulimbiu: “Tanzania Mahali  Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji”.

Post a Comment

0 Comments

 KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YANOLEWA