MHAGAMA: RAIS SAMIA ALETA MAGEUZI SEKTA YA AFYA


Na Mwandishi wetu

MBUNGE wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora ya afya pamoja na ruzuku ya mbolea kwa wakulima katika Mkoa wa Ruvuma.

Mhe. Jenista ameyasema hayo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi, Dkt. Emmanuel Nchimbi mkoani Ruvuma.



Post a Comment

0 Comments

CHATANDA:RAIS DK. SAMIA AMEIMARISHA SEKTA YA MADINI