MAHUNDI AHUDHURIA UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA MELI NNE KIGOMA






 #Matukiokatikapicha

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, leo Julai 20, 2016 amehudhuria hafla ya uzinduzi wa Ujenzi wa Meli Nne (4) za mizigo katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma.

Post a Comment

0 Comments

MAHUNDI AHUDHURIA UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA MELI NNE KIGOMA