WAZIRI wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, tayari amewasili Bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ya 2026/2027. Hotuba hii inawasilishwa leo tarehe 24 Aprili, 2026.
Usikose kufuatilia matangazo ya Bunge leo ili kuweza kufahamu Mpango wa Utekelezaji wa Wizara ya Katiba na Sheria.
#WizarayaKatibanaSheriaHakiUsawanaUtawalawaSheriakwaWote#

0 Comments